Friday, September 18, 2015

SABABU TANO KWANINI UNATAKIWA KUTUMIA VIAZI MVIRINGO

Je, umeshawahi kufikiria kuacha kutumia viazi?Nina habari ambayo inaweza kukushangaza kuhusu viazi mviringo. Siyo tu kwamba viazi mviringo ni vitamu na vinabei nafuu, kunafaida nyingi za kiafya mabazo mtu anaweza kuzipata iwapo atatumia viazi mviringo. Hizi ni sababu kuu tano.

Tuesday, September 15, 2015

UMUHIMU WA KUNYWA RED WINE

Ripoti nyingi zilizotoka mwaka 2000 zimedhibitisha kwamba wine nyekundu zinafaida kubwa kiafya hasa kusaidia katika kupambana na magonjwa yanayohusu mzunguko wa damu na magonjwa ya moyo. 

Tuesday, September 8, 2015

SABABU TANO KWANINI UNATAKIWA KULA NDIZI


Wewe ni mpenzi wa ndizi? Je, unakula ndizi ngapi kwa siku, week, mwezi na mwaka? Je, unafahamu umuhimu wa ndizi kwenye afya yako?
Kutokana na mambo ya lishe kushika kasi hapa nchini kuna watu wengi wana hamu sana ya kufanamu masuala ya lishe. Kunahabari nyingi na ushauri mwingi ambao watu wanaupata kuhusiana na mambo ya lishe na matumizi ya ndizi. Zingine zinapotosha zingine ni za kweli.

Saturday, September 5, 2015

Friday, September 4, 2015