| Obama akisiini kitabu cha wageni |
Rais Barrack Obama wa Marekani, tayari amewasili mjini Nairobi.
Ndege iliyombeba rais obama ilitua katika uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta muda mfupi baada ya saa mbili za usiku.
| Obama akisiini kitabu cha wageni |
| Kaimu Kamanda wa Polisi, Mkoa wa Mwanza, Japhet Lusingu |

| Federica Mogherini wa EU |
| Wajumbe wa mkutano maalumu wa uchaguzi wa Chadema Moshi Mjini, wakishangilia baada ya msimamizi wa uchaguzi kumtangaza Jafary Michael kuwa mgombea ubunge wa jimbo hilo. |

| Mratibu wa mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini Tanzania na Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Mipango ya maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Bw. Alvaro Rodriguez. |