Thursday, July 30, 2015

HABARI NA PICHA: LOWASA ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAISI

CLJ8fhkW8AA6IKB
Edward Lowassa akionesha fomu ya kuwania urais aliyokabidhiwa leo Makao makuu ya
Chadema,D ar.
           

           CLJ5hSGWoAACCU3
Umati wa watu waliojitokeza kumpokea Lowassa wakati akichukua fomu ya urais kupitia Chadema.
 
                                           Akisaini katika kitabu cha wageni.
   CLJ9y4iWEAAZWy7
Mnadhimu Mkuu kambi rasmi ya upinzani bungeni, Tundu Lissu akitoa yake machache.
CLJ52JsWwAA--Yc
                     Lowassa akiwasiri kwenye Ofisi za Makao Makuu ya Chadema, Dar leo.


CLKRw2sWcAAzeL9

                                                   Baada ya kuchukua fomu.
mbowe na lowassa 
Mwenyekiti wa Chadema (kushoto) Mhe. Freeman Mbowe Mhe. Edward Lowassa (katikati) wakati wa zoezi la kuchukua fomu lililofanyika leo Makao Makuu ya Chadema Kinondoni jijini Dar .
LOWASA (1)

                                Edward Lowassa akiwa katika meza kuu ya Chadema.
 
Edward Lowassa amekabidhiwa fomu hiyo na Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe kwenye ofisi za Makao Makuu ya chama hicho yaliyopo Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Lowassa alijiunga rasmi na Chadema juzi akitokea CCM baada ya kuondolewa kwenye mchakato wa kuwa mgombea urais wa chama hicho akidai kuwa jina lake liliondolewa kwa mizengwe.

No comments :

Post a Comment