Monday, July 6, 2015

UKWELI KUHUSU MATUMIZI YA KAHAWA.

http://emanuelcosmas.blogspot.com/
Na. Emanuel

Utangulizi

 
Kahawa ni kinywaji kinachotumiwa na watu wengi duniani.  Kwa mujibu wa jarida la Worldatlas takwimu za mwaka 2013 kati ya nchi kumi zenye matumizi makubwa ya kahawa,  nchi inayoongoza zaidi kwa matumizi ya kahawa ni Finland ambayo ina wastani wa vikombe 2.64 vya kahawa vinavyonywewa  kwa siku (kilo 9.6 kwa mwaka) kwa kila raia. Nchi zingine tano zinazoongoza kwa matumizi ya kahawa ni Norway namba 2 (Kilo 7.2 kwa mwaka)), Netherland  namba 3 (Kilo 6.7 kwa mwaka), Slovenia 4 (kilo 6.1 kwa mwaka) , na Austria namba 5 (kilo 5.5 kwa mwaka) kwa kila raia.
 
Kuna mambo mengi huwa yanazungumzwa kuhusu kahawa. Mengine ni ya kweli na mengine si ya kweli. Leo hii nitaongelea vyote hivyo ili kuweka uwazi kuhusu kahawa.

HABARI KAMILI MRAMBA NA YONA KWENDA JELA MIAKA MITATU

http://emanuelcosmas.blogspot.com/One Click Habari
Dar es salaam: Mahakama ya hakimu mkazi kisutu jijini Dar es Salaam imewahukumu kwenda jela miaka mitatu aliyekuwa waziri wa zamani wa fedha Basil Mramba,na aliyekuwa Waziri wa zamani wa Nishati na Madini,Daniel Yona baada ya kukutwa na hatia ya uhujumu uchumi, matumizi mabaya ya ofisi na kuisababishia serikali hasara ya sh bilioni 11.7.
Akizungumzia hukumu hiyo, Wakili wa washtakiwa hao, Peter Swai, amesema kwamba hukumu hiyo imetolewa na jopo la majaji watatu ambao ni Jaji Samu Rumanyika, Jaji John Utamwa, pamoja na Hakimu Saul Kinemela, ambapo mtuhumiwa wa tatu wa kesi hiyo ambaye ni aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Gray Mgonja,  amekutwa hana hatia huku mawakili wa washtakiwa wakiazimia kukata rufaa.
 

BREAKING NEWS; UKAWA WAJITOA RASMI BUNGENI


DODOMA: Umoja wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya wananchi UKAWA leo umetangaza rasmi kususia vikao vya bunge vilivyobaki kwa madai ya kukiukwa kwa kanuni za bunge.
 
Umoja wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya wananchi UKAWA leo umetangaza rasmi

Sakata la Walimu wa Kike Kufanyishwa Mapenzi Usiku KICHAWI Lachukua sura mpya


Lile Sakata la walimu wa Shule ya Msingi Nambaza, katika Wilaya ya Bunda, mkoani Mara, kufanyiwa vitendo vya kishirikina na kutishiwa maisha, limeendelea kuumiza vichwa vya viongozi wilayani humo.
 
Viongozi hao, leo wanatarajia kukutana katika kikao ambacho kitamshirikisha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya, Ofisa Utumishi na Ofisa Elimu wa Wilaya hiyo

Mbunge Wa CHADEMA Ajivua Uanachama "Asema Kama CHADEMA Wanaubavu Wakalikomboe hilo Jimbo "

 
MBUNGE wa Mpanda Mjini, Said Arfi, jana aliwaaga wapiga kura wake akiwaeleza kuwa uanachama wake Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) utakoma mara baada ya kuvunjwa kwa Bunge la 10 mjini Dodoma.



Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Shule ya Msingi Kashato mjini hapa jana, Arfi, aliyekiwakilisha chama hicho

KIKWETE: MSIMCHAGUE HUYU


 
Tanga. Rais Jakaya Kikwete amewataka viongozi wa dini nchini kuwahimiza waumini wao kuwachagua wanasiasa wasiokuwa waovu, wasiofanana na uovu au hata kuukaribia.
Amewataka kuepuka makundi ya kisiasa na wasiwape mwanya wanasiasa wenye dhamira ovu katika kutafuta madaraka kwa thamani yoyote na wawakemee wale wanaotaka kupata madaraka kwa gharama yoyote.

Utafiti Urais 2015: Lowassa Aongoza Mbio za Urais Dr Slaa Ashika Nafasi ya Pili

 
Zikiwa zimebakia siku sita kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumpata mgombea wake wa urais katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu, kura ya maoni iliyoendeshwa na Mpango wa Utafiti na Elimu ya Demokrasia (REDET) ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, inamweka kileleni Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, kuwa

KWA WANAOPENDA KUFANYA KAZI TANESCO NAFASI HIZI 15 ZINAKUHUSU

1. Scada EMS Soft Ware /Hard Ware Engineer Trainees    

Fresh graduate, a holder of BSc. in Electrical/Electronics/Telecommunication/ICT Engineering
Dar es Salaam / Engineering & Construction /                     

2. POWER QUALITY ENGINEER TRAINEES

Maintain the existing power quality monitoring schemes.
Dar es Salaam / Engineering & Construction / 

3. Light Current Engineers Trainees  

Bachelor of Science Degree in Electronics and Telecommunication Engineering
Dar es Salaam / Engineering & Construction /                        

4. Transmission Engineers Trainees

A Bachelor of Science Degree in Electrical /Civil/ Industrial Engineering and Management
Dar es Salaam / Engineering & Construction /                         

5. Accountant Trainee - Coast Regions

  To be in-charge of billing, data entry, finance, supplies and meter reading sections.
Rest of Tanzania / Accounting /                     

6. Accountant Trainee-Ilala 

To be in-charge of billing, data entry, finance, supplies and meter reading sections.
Rest of Tanzania / Any category /                  

7. Accountant Trainee - Lindi    

To be in-charge of billing, data entry, finance, supplies and meter reading sections.
Rest of Tanzania / Accounting /                   

8. Personal Secretary -Mtwara  

Diploma in Secretarial or Full Secretarial Certificate.
Rest of Tanzania / Office & Admin /                  

9. Personal Secretary-Lindi 

Diploma in Secretarial or Full Secretarial Certificate.
Rest of Tanzania / Office & Admin /      

10. Electrical Technicians - Kibamba

  To construct and maintain distribution lines network in accordance with the company procedures and standards.
Rest of Tanzania / Engineering & Construction / 

11. Electrical Technicians-Temeke

 
To construct and maintain distribution lines network in accordance with the company procedures and standards.
Rest of Tanzania / Engineering & Construction /
                   

12. Electrical Technicians-Lindi

 
To construct and maintain distribution lines network in accordance with the company procedures and standards.
Rest of Tanzania / Engineering & Construction /                   
       

13. Electrical Technicians - Mtwara  

To construct and maintain distribution lines network in accordance with the company procedures and standards.
Rest of Tanzania / Engineering & Construction / 

14. Electrical Technicians - Kinondoni  

To construct and maintain distribution lines network in accordance with the company procedures and standards.
Rest of Tanzania / Engineering & Construction /                 

15. Electrical Technicians - Ilala

     To construct and maintain distribution lines network in accordance with the company procedures and standards
FOR APPLICATION OF EACH POST, CLICK HERE

NAFASI ZA KAZI: VIETTEL WAMWAGA AJIRA

1. Key Persons in the following Fields Vas

Mass recruitment looking for excellent candidates who are specialized in Telecommunication, IT, Marketing, Business Administration, Account sectors.
Dar es Salaam / IT & Telecoms /                       

2. Key Persons in the following Fields International Roaming

 Mass recruitment looking for excellent candidates who are specialized in Telecommunication, IT, Marketing, Business Administration, Account sectors.
Dar es Salaam / IT & Telecoms /

3. Key Persons in the following Fields Public Relation/ Communication

Mass recruitment looking for excellent candidates who are specialized in Telecommunication, IT, Marketing, Business Administration, Account sectors.
Dar es Salaam / Marketing, Media & Brand / 

4. Key Persons in the following Fields Transmission

Mass recruitment looking for excellent candidates who are specialized in Telecommunication, IT, Marketing, Business Administration, Account sectors.
Rest of Africa / IT & Telecoms /                     

5. Key Persons in the following Fields Electrical    

Mass recruitment looking for excellent candidates who are specialized in Telecommunication, IT, Marketing, Business Administration, Account sectors.
Dar es Salaam / IT & Telecoms /                     

6. Key Persons in the following Fields Technical /Core Network, NSS,Bss

Mass recruitment looking for excellent candidates who are specialized in Telecommunication, IT, Marketing, Business Administration, Account sectors.
Dar es Salaam / IT & Telecoms /                   

7. Key Persons in the following Fields Operation and Maintenance

Mass recruitment looking for excellent candidates who are specialized in Telecommunication, IT, Marketing, Business Administration, Account sectors.
Dar es Salaam / IT & Telecoms /                  

8. Key Persons in the following Fields Infrastructure /Civil Engineering

 Mass recruitment looking for excellent candidates who are specialized in Telecommunication, IT, Marketing, Business Administration, Account sectors.
Dar es Salaam / Engineering & Construction /
 

FOR APPLICATION OF EACH POST: CLICK HERE


ABOUT-ONE CLICK Habari

  • The blog

ONE CLICK Habari is a bilingual (English, Kiswahili) personal blog, however, not all posts published in this blog are personal.
  • The posts

ONE CLICK Habari creates its own posts (topics) and accepts submitted materials from anyone as long as they adhere to Google’s Blogger Policy. Nevertheless, the owner retains all the rights to accept or reject requests to publish all or parts of submitted materials as well as comment. 
Whenever necessary, the owner will edit, add and/or omit any information from submitted materials that may otherwise be perceived as sensitive (e.g. hurtful, demeaning, falsified...) before releasing the content to the public. At any time, the owner will  not hesitate to edit any published post in case it receives a valid complaint. Most importantly, a post may be taken down if it means to preserve the dignity of a defamed individual/group.
 ONE CLICK Habari is not affiliated or in any way connected with any hiring firm and/or  scholarship providers. The material provided here is for informational purposes only. You are using the information at your own discretion. ONE CLICK Habari will not be liable to any damage caused by information provided here. Use the contact provided in the individual post to send your application letter or inquiry for more information; DO NOT send requests for clarification or applications to ONE CLICK Habari, there will not be any response as ONE CLICK Habari is not hiring, does not offer scholarship and is not connected with any of such firms!

  • The policy

ONE CLICK Habari follows Google’s Blogger Policy

  • Our values

ONE CLICK Habari believes in making a greater and trusted Information and news blog in Tanzania  and building an Open-minded notion among readers.
  • The owner

Emanuel Cosmas is a Food Scientist by profession with a hobby in technology and information sharing

Dr Shein Apitishwa Kuwa Mgombea Urais wa Zanzibar Kupitia CCM.

Kamati kuu maalum ya chama cha mapinduzi Zanzibar kwa kauli moja imempitisha Dr Ali Mohamed Shein kuwa mgombea urais wa Zanzibar kupitia chama cha mapinduzi.


Hatua hiyo imefikiwa baada ya wajumbe wa NEC wa Zanzibar wanounda kamati maalum ya Zanzibar kukutana hapa Zanzibar katika ofisi kuu ya CCM na kuamua kumuidhinisha Dr Shein kugombea tena  kiti hicho cha urais baada ya wajumbe karibu 102  ambao ni aslimia 83  kuridhia Dr Shein agombee.


Awali Dr Shein ambaye ni makamu mwenyekiti wa CCM Zanzibar alilazimika kuondoka ndani ya kikao ili ijadaliwe na wanachama hao ambapo kiti hicho kilishikwa kwa muda na Dr Mohamed Gahribu Bilali makamu wa rais, ambapo baadaye akizumgumza na wanaccm hao waliokubali Dr Shein aliwahidi wanachama wa CCM kuwa  uamuzi wake uko palepale wa kutekeleza ilani ya CCM ya kuitumikia Zanzibar.


Katika hatua nyengine naibu katibu mkuu wa CCM Zanzibar akizungumza baada ya kikao hicho alisema CCM haiwezi kupinga au kukubali suala la majimbo,wao wanasubiri maamuzi ya tume na wako tayari kwa umauzi wowote utakaotolewa na tume ya uchaguzi ambayo inatarajiwa kutangaza majimbo mapya leo asubuhi.

 
Kupitishwa kwa Dr Shein kugombea urais wa Zanzibar na kamati maalum ni hatua ya kwanza na sasa shuguhli yote inahamia Dodoma ambapo jina la Dr Shein litajadiliwa na kamati kuu na baadaye kutakiwa kuidhinishwa na kupitishwa na halmashuri kuu ya CCM, nafasi ya urais wa Zanzibar inaamuliwa na NEC na siyo na mkutano mkuu wa-CCM

KAULI YA TUNDU LISSU KUHUSU KILE KILICHOTOKEA BUNGENI


KAMA ULIPITWA: Madabida akata kumfananisha mgombea Urais na Mtume - Taarifa ya Habari ChannelTEN, Julai 5, 2015

Habari kaimli ipo hapo chini;