Friday, September 18, 2015

SABABU TANO KWANINI UNATAKIWA KUTUMIA VIAZI MVIRINGO

Je, umeshawahi kufikiria kuacha kutumia viazi?Nina habari ambayo inaweza kukushangaza kuhusu viazi mviringo. Siyo tu kwamba viazi mviringo ni vitamu na vinabei nafuu, kunafaida nyingi za kiafya mabazo mtu anaweza kuzipata iwapo atatumia viazi mviringo. Hizi ni sababu kuu tano.