Friday, July 24, 2015

OBAMA AMEWASILI KENYA

Rais Obama
Obama akisiini kitabu cha wageni
Rais Barrack Obama wa Marekani, tayari amewasili mjini Nairobi.
Ndege iliyombeba rais obama ilitua katika uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta muda mfupi baada ya saa mbili za usiku.

FOUR DAYS OF PRODUCTIVITY MANAGEMENT CAPACITY BUILING WORSHSHOP CLOSSED BY DIRECTOR GENERAL-SIDO

                        
Dar es salaam: The four days of successful Capacity Building Workshop on Productivity Management for MSMEs in Africa was closed today by Director General of Small Industries Development Organisation (SIDO) Eng.  Omary  J. Bakari.  

MAHABUSU WATATU WAUAWA WAKIJARIBU KUPORA SILAHA

Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Japhet Lusingu
Kaimu Kamanda wa Polisi, Mkoa wa Mwanza, Japhet Lusingu 
MAHABUSU Watatu waliokuwa wanapelekwa katika Gereza la Butimba, jijini Mwanza, wakitokea kijiji cha Nyang`amango wilayani Misungwi, wamefariki dunia wakati wakijaribu kuwanyang`anya Polisi silaha. 
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Japhet Lusingu, amethibitisha kutokea kwa

SERIKALI YATOA UFAFANUZI KUHUSU BVR


Serikali imetoa ufafanuzi kuhusu baadhi ya changamoto zilizojitokeza katika zoezi la uandikishaji wa wananchi kwenye daftari la kudumu la wapiga kura katika mfumo wa BVR lililoanza juzi jijini Dar es Salaam.

Mkuu wa Mkoa Wa Dar es salaam Said Meck Sadiki Amesema kuwa Tume ya Taifa ya

ESTA BULAYA AMRIPUA WASIRA

                            
ALIYEKUWA Mbunge wa Viti Maalumu mkoani Mara kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi.Esta Bulaya ambaye juzi alitangaza kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), amepata mapokezi makubwa Mjini Bunda jana akitokea jijini Mwanza akiwa na viongozi wa CHADEMA mkoani humo na Kanda ya Ziwa.
 

12 FREE ONLINE COURSES

1. Google Free Online Course On Computational Thinking

Google is offering free online course for worldwide teachers. The main aim of Google for this is to make its students understand the difference between computational thinking and computer science. It also helps Read More

The scientists and economists both have their own perception regarding the phenomenon of climate change. University of Melbourne with Coursera is offering a free online course on climate change … Read More


EU YAJADILI KUKATA MSAADA KWA BURUNDI

Federica Mogherini wa EU                      
Muungano wa Ulaya EU umeanza kikao maalum kujadili uwezekano wa kukata msaada wake nchini Burundi. Inakisiwa kuwa fedha kutoka muungano huo unafikia zaidi ya nusu ya bajeti nzima ya Burundi ya kila mwaka.
Mkuu wa masuala ya kigeni wa Muungano wa EU Federica Mogherini, ameelezea wasiwasi wake juu ya ghasia zilizototokea nchini humo kabla ya kufanyika uchaguzi wa rais, na ametilia shaka iwapo serikali itakayoundwa baada ya uchagzui huo itakuwa wakilishi ya taifa nzima.

MADAI YA RUSHWA: UCHAGUZI CHADEMA WAVURUGIKA

Wajumbe wa mkutano maalumu wa uchaguzi wa
Wajumbe wa mkutano maalumu wa uchaguzi wa Chadema Moshi Mjini, wakishangilia baada ya msimamizi wa uchaguzi kumtangaza Jafary Michael kuwa mgombea  ubunge wa jimbo hilo. 
Dar/mikoani. Uchaguzi wa kura za maoni ndani ya Chadema katika Jimbo la Bariadi umeahirishwa baada ya kubainika kwa matukio yanayoashiria vitendo vya rushwa.
Wakizungumza baada ya kuahirishwa kwa uchaguzi huo, wajumbe wa mkutano mkuu wa wilaya walisema hawataki kuingiliwa na virusi vya rushwa ndani ya chama hicho, kwa kuwa hali hiyo italeta mpasuko na makundi.

Auawa baada ya kuwachoma visu wenzake kwenye daladala

                   
Dar es Salaam. Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Mosha Mahona ameuawa na wananchi baada ya kuwachoma kwa kisu abiria watano waliokuwa kwenye daladala linalofanya safari zake kati ya Posta na Ubungo Simu 2000.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camilius Wambura alisema jana kuwa tukio

NEW JOB: Relationship Officer at Ace Global Depository


EXCITING CAREER OPPORTUNITY
A leading Credit Support and Collateral Control company based in Dar es Salaam is seeking to fill the vacancy in its Marketing department.
Position: Relationship Officer
Reporting to: Group Relationship Manager & Country Manager
Objective:
To assist the Group Relationship Manager and Country Manager in their roles of marketing company’s services to a diverse range of clients within the country and work hand in hand with different departments to ensure deliverable services to our customers.
Duties & Responsibilities;

ACT YASAMBARATISHA KAMBI YA HALIMA MDEE

                 

KAMBI ya aliyekuwa Mbunge wa Kawe, Halima Mdee (Chadema), imeanza kusambaratika baada ya wafuasi wake kujiunga na Chama cha ACT-Wazalendo.
Wafuasi wake hao wakiongozwa na diwani aliyemaliza muda wake katika Kata ya Kunduchi, Janeth Rithe, wamejiunga jana ACT-Wazalendo na kukabidhiwa kadi na Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho, Msafiri Mtemelwa.

UMOJA WA MATAIFA WATOA TAMKO KUHUSU UVUMI KWAMBA WATAJITOA KATIKA KUSAIDIA MAANDALIZI YA UCHAGUZI WA TANZANIA -2015

Mratibu wa mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini Tanzania na Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Mipango ya maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Bw. Alvaro Rodriguez.

UMOJA wa Mataifa umetaka vyombo vya habari vya kitaifa na kimataifa kuhakikisha vinatoa taarifa zao kwa usahihi kuhusu maandalizi ya uchaguzi na uchaguzi wenyewe.

Kauli hiyo imetolewa na Ofisi ya Umoja wa Mataifa Dar es salaam, kufuatia taarifa iliyochapishwa na jarida moja kwamba UN inataka kujitoa katika kusaidia manadalizi ya uchaguzi nchini Tanzania.