Monday, July 20, 2015

HATIMAYE BENKI ZAFUNGULIWA NCHINI UGIRIKI

                 null

Mabenki Nchini Ugiriki yanafunguliwa leo kwa mara ya kwanza katika kipindi cha majuma matatu.
Kuna milolongo mirefu kwa sasa nje ya mabenki hayo, pale bunge la taifa hilo lilipopitishia masharti magumu juma lililopita kama sehemu ya kutatua matatizo yake ya kifedha.
Baadhi ya masharti yangali pale pale, ikiwemo viwango vya fedha ya mtaji kutoka mataifa ya ulaya.

BAADA YA KUJIENGUA NCCR MAGEUZI: ZITO KABWE ATAMPOKEA MOSES MACHALI ACT

                       



Kiongozi  wa chama cha ACT-Wazalendo Zitto Kabwe, kesho julai 21 atampokea Mbunge wa Kasulu, mjini Moses Machali(NCCR-Mageuzi), ambaye  atatambulishwa rasmi kuwa mwanachama wa ACT-Wazalendo. Kwa mujibu wa  taarifa iliyotolewa leo na  Abdallah Khamis Afisa Habari -ACT-Wazalendo  imesema  kwamba   Machali ataambatana na Madiwani wawili,Kamishna wa mkoa mmoja na katibu wake pamoja na wenyeviti na

JOTO LA UCHAGUZI: CHADEMA YATANGAZA RATIBA YA KURA YA MAONI

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetangaza ratiba ya kuanza kura ya maoni ndani ya chama hicho kuwa itaanza leo (Julai 20) na kumalizika Julai 25 mwaka huu.

Kura hiyo inakuja baada ya kukamilika kwa kazi ya uchukuaji fomu za kuomba kuwania ubunge na udiwani, ndani ya chama hicho.

BAADA YA KUENGULIWA: MEMBE ATANGAZA KUIPA KISOGO SIASA


Waziri wa Mambo ya Nje na  ushirikiano wa kimataifa, Bernard Membe, amesema hatogombea wadhifa wowote kwenye uchaguzi mkuu wa  mwaka huu na kwamba anapanga kujishughulisha na masuala yake ya kibinafsi.

Membe ambaye alikuwa

JESHI LA POLISI LAFANIKIWA KUWAUWA MAJAMBAZI WATATU WALIOVAMIA KITUO CHA POLISI CHA SITAKI SHARI NA KUWATIA WENGINE WAWILI MBARONI


MAJAMBAZI waliovamia Kituo cha Stakishari jijini Dar es Salaam watatu wauwawa na wawili watiwa mbaroni wakati wakitupiana risasi katika eneo la Tuangoma, Kigamboni jijini Dar es Salaam.
Tukio hilo la kukamatwa na

AJIRA MPYA 12 BENKI KUU TANZANIA (B. O. T)


ABOUT B. O. T 
The Bank of Tanzania, an equal opportunity employer and Tanzania’s central bank, is looking for suitably qualified young Tanzanian citizens of high personal integrity to fill the following vacant positions at its new Mtwara Branch.

 1. POSITION: PERSONAL SECRETARY III - 4 POSTS

 Reports to: Head of Division 

Contract type: Contract for unspecified period of time 


MBUNGE LEMBELI ATILIA MKAZO MSIMAMO WAKE WA KUVUA "GAMBA LA KIJANI"

Kahama. Mbunge wa Kahama aliyemaliza muda wake, James Lembeli amekataa kubadili msimamo wake wa kutogombea ubunge kupitia CCM akisema atagombea nafasi hiyo kupitia chama kingine.
Akizungumza mjini mjini humo jana,

WAPINZANI WAITOLEA UVIVU SERIKALI KUTOKANA NA MAGUFULI KUTUMIA NDEGE YA SERIKALI

Dar es Salaam. Wanasiasa wa upinzani nchini wamepinga kitendo cha mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli kutumia ndege ya Serikali kwenye shughuli za kichama za kujitambulisha wakisema hatua

MAMBO KUMI UNAVYOTAKIWA KUYAACHA MARA MOJA

                       
Kuna vitu vingi ambavyo vinaweza kukufanya ukose raha na kupata "stress". Hivi ni vitu 11 ambavyo unatakiwa kuviacha ili kurahisisha maisha. Anza leo kuviacha kwani kuendelea kuvifanya vitu hivi hakutakusaidia chochote .
Vitu kumi ambavyo unatakiwa kuviacha mara moja ni hivi vifuatavyo;

"MCHUNGAJI PETER MSIGWA" NI TISHIO KUBWA

Iringa: Mbunge wa Iringa Mjini Mch. Peter Msigwa amekua ni mwiba na tishio kubwa kwa wenzake wanaolitamani na kulinyemelea Jimbo la Iringa Mjini. 

Kukubalika huko kulijidhihirisha siku ya jana ambapo alikua akiomba ridhaa ya wananchi wa Iringa Mjini ili agombee kwa muhula mwingine kwa tiketi ya CHADEMA. Umati

MIZENGO PINDA, "AJIENGUA"

Waziri mkuu Mizengo Pinda amekataa ombi la wananchi wa  jimbo lake la uchaguzi la Katavi la kumtaka agombee tena ubunge katika jimbo hilo ili kuendeleza mipango mbalimbali ya maendeleo aliyoianzisha. 

Akizungumza baada ya Ibada ya Jumapili katika kigango cha Kanisa Katoliki cha Kibaoni wilayani Mlele (Jumapili, Julai 19, 2015), Waziri Mkuu Pinda amesema 

VIDEO: NJIA RAHISI YA KUMENYA VIAZI MVIRINGO

Suala la kumenya viazi ni kati ya vitu ambavyo vinatia sana uvivu. Ni kazi ambayo wengi huwashinda kuifanya peke yao hasa pale wanapohitaji kumenya viazi vingi. Leo hii nakupa njia rahisi itakayokusaidia

JERRY SLAA APATA KIGINGI

Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Silaa, amejikuta akiwa katika  wakati mgumu baada ya kumpata mpinzani wake Mwalimu wa Kitengo cha Kompyuta toka  Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Anthony Kalokola kwenye  kinyang’anyiro cha Ubunge katika

MBUNGE APELEKEWA FOMU NYUMBANI



                                                            Wazee wakimpoelekea fomu ya ubunge Deo Filikunjombe nyumbani kwake kwa maandamano 


WAZEE Ludewa wamemchukulia fomu ya kugombea Ubunge, mbunge aliyemaliza muda wake hivi karibuni, Deo Filikunjombe wakimwomba kuendelea kuongoza jimbo hilo kwa miaka 20 zaidi huku wakidai kuwa kama usingekuwa ni utaratibu wa chama cha mapinduzi