Tuesday, July 7, 2015

Nape: Hakuna nafasi ya kukata rufaa majina yakikatwa

Dodoma.Chama cha Mapinduzi (CCM) kimesema hakutakuwa na nafasi ya kukata rufaa kwa wanachama wa chama hicho walioomba ridhaa ya chama kupeperusha bendera ya CCM katika nafasi ya Urais iwapo majina yao yatakatwa.
 
 
Kauli hiyo imetolewa mjini Dodoma leo na Katibu wa Itikadi

Kamati Kuu ya CHADEMA yakutana kwa dharura



Dar es salaam: KAMATI Kuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), leo wamekutana Jijini Dar es Salaam kwa dharura kwa ajili ya kujipanga ili kukabiliana na changamoto za kisiasa wanazokabiliana nazo kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba mwaka huu.
 

JINSI YA KUTENGENEZA ACHALI YA EMBE (MANGO PICKLE)

http://emanuelcosmas.blogspot.com/

1. Utangulizi:

Achaliya embe ni bidhaa inayotokana na usindikaji wa zao moja kwa kutumia chumvi.  Bidhaa hii ikisha sindikwa hifadhi yake inatokana na tindikali aina ya asetiki . Mazao mengine yanayoweza kutengenezwa achal ni kama Embe, ndimu, kabegi (kimchi), matango, shelisheli, uyoga n.k
 
 

11 wauawa katika shambulio Mandera,Kenya

Shambulio limetokea kaskazini mashariki mwa Kenya ambapo inahofiwa kuwa takriban watu 11 wameuawa. Shambulio hilo linaaminiwa kuwalenga wafanyikazi wa machimbo ya mawe wasiokua wenyeji.

Polisi: Msiokuwa na shughuli maalumu msije Dodoma

Dodoma. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, David Misime amewataka wageni wasiokuwa na shughuli muhimu ya kufanya mkoani hapa kutokuja katika kipindi cha juma hili ili kuepusha usumbufu utakaojitokeza.


Misime alitoa agizo hilo jana wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake kuhusu wiki hii ambayo inatarajiwa kuwa na ugeni mkubwa wa wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM ambao

Wabunge upinzani wamsusia tena JK

 
 
Dodoma. Historia inaelekea kujirudia, kama ilivyokuwa wakati Rais Jakaya Kikwete akizindua Bunge la 10 na wabunge wa Chadema kususia hotuba yake, ndivyo itakavyokuwa atakapolihutubia Bunge kwa mara ya mwisho Alhamisi bila kuwapo wabunge hao na wenzao kutoka NCCR – Mageuzi na CUF wanaounda Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni (KUB).

SCHOLARSHIP

TCRA ICT Scholarships for Tanzanians 2015-2016
The Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA) is currently inviting highly qualified graduate and undergraduate students to apply for its 2015/16 ICT scholarships. The scholarship offers Tanzania students the opportunity to obtain degrees in the Information and Communication Technologies (ICT) and related areas. The Scholarship will be awarded on the basis of academic merit and interview to be conducted by the Scholarship Panel.

NEW JOB POST: VIDEO JOURNALIST/ BROADCASTER


Contractor Position available for Video Journalist/Broadcaster at an International Broadcasting Organization