Tuesday, July 14, 2015

VIONGOZI WADINI WAPINGA MAUAJI YA POLISI

VIONGOZI mbalimbali wa dini nchini wameandaa maandamano  kwa lengo la kumuona Rais jakaya kikwete ili kumuomba alifanyie mabadiliko makubwa Jeshi Polisi.

Mabadiliko hayo ni pamoja  na kubadili mawaziri  wote wa mambo ya ndani,  mkuu

JOB POST: STAFF ASSISTANT-WORLD FOOD PROGRAM


NAFASI ZA KAZI MPYA: TANROAD KILIMANJARO

- SHIFT IN CHARGE 

- DRIVER 

- WEIGHBRIDGE OPERATORS 

- ACCOUNTS ASSISTANTS 

SEND YOUR APPLICATIONS TO

THE REGIONAL MANAGER
TANZANIA NATIONAL ROADS AGENCY
UJENZI BUILDINGS
OLD MOSHI ROAD
P.O.BOX 3051
MOSHI
KILIMANJARO

SOURCE: MWANANCHI JUMATATU (JULY 13, 2015)

NEC yatangaza majimbo mapya 26 uchaguzi


Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) leo imetangaza majimbo mapya ya uchaguzi 26, Dar es Salaam imeongezewa majimbo mawili ambayo ni Mbagala na Kibamba.

LEO HAPATOSHI; HUKU MAGUFULI KULE DR. SLAA

Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) wanatarajia kumtangaza rasmi mgombea wao wa uraisi atakaye peperusha bendera ya umoja huo .

KAMA ILIVYOTABIRIWA AWALI HATIMAYE KAMBI YA LOWASA YAMUUNGA MKONO DR. MAGUFULI

Dodoma. Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Dk Emmanuel Nchimbi ambaye pia alikuwa mwanamkakati katika kambi ya Edward Lowassa katika mbio za urais, amesema kambi

VIDEO: MAJAMBAZI YAVAMIA KITUO CHA POLISI SITAKI SHARI

Dar es salaam: Askari wa nne wa Jeshi la Polisi na raia watatu wamefariki dunia  katika tukio la ujambazi lililotokea katika kituo cha Polisi cha Stakishari kilichopo Ukonga jijini Dar es Salaam.
 
Katika tukio hilo watu wapatao nane wamesadikika kuingia katika kituo hicho cha Polisi eneo la Stakishari majira ya saa 4 usiku wa kuamkia jana.