Monday, August 3, 2015

JESHI LA NIGERIA LIMEWAOKOA WATU 180

Jeshi la Nigeria linasema kuwa limewaokoa zaidi ya watu 180, wengi wao wanawake na

NDUNGAI AWEKEWA PINGAMIZI

WAGOMBEA ubunge jimbo la Kongwa kupitia (CCM), kwa ujumla wao wameandika barua ya pingamizi kwa Mkurugenzi wa uchaguzi mkoa Dodoma kwa lengo la kupinga matokeo

CHADEMA YAMPUMZISHA DR. SLAA

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe (kulia) akiwa na Katibu wake, Wiibrod Slaa
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimempumzisha Katibu Mkuu wake

HICHI NACHO NI MUHIMU KUFAHAMU


Je, wewe ni mpenzi wa chipsi kuku, nyama ya kuku n.k? Je ni kuku wa aina gani unawatumia? Unafahamu kwamba kuna baadhi ya wafanyabiashara na wakulima wa

LIES ON FOOD LABEL

The food you’re buying in shops, supermarkets or somewhere else may not be exactly what it says its label. One-hundred percent olive oil? It could have canola or peanut oil. Honey? Might

MRITHI WA LOWASA APATIKAKA

Namelock Sokoine 
Arusha. Binti wa Waziri mkuu wa zamani, Edward Sokoine, Namelock Sokoine ameshinda kura za maoni kugombea ubunge Jimbo la Monduli kupitia CCM huku mkwe wa Lowassa, Siyoi Sumari akishindwa Jimbo la Arumeru Mashariki.

Wagombea ubunge CCM Moshi Mjini wagoma kusaini matokeo.

Wagombea wawili wa kiti cha ubunge katika Jimbo la Moshi Mjini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), ‘wamegoma’ kusaini matokeo ya kura za maoni yaliyompa ushindi

Wapiga kura wachoma moto boksi la kura.

Wanachama 401 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), tawi la Gidamula, Kata ya Gidehababieg, wilayani Hanang, wamevamia kituo cha kupiga kura na kuchoma moto

MAWAZIRI HOI

Mathias Chikawe

Dar/mikoani. Kishindo cha kura za maoni ndani ya CCM kimeendelea kuwakumba baadhi ya vigogo wa chama hicho baada ya jana mawaziri wengine watano kuanguka.

Mbowe: Nitamzungumzia Dk Slaa muda ukifika

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe (pichani) amezungumzia kukosekana kwa Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa katika vikao vya chama hicho

Wasira, Lugola vinara kura za maoni

Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen
WAZIRI wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wasira (pichani), ameshinda kura za

TAKUKURU YAMSAFISHA NAPE


Kamanda wa Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (Takukuru) mkoa wa Lindi, Steven Chami akizungumza na waandishi wa habari mkoani humo wakati akikanusha tuhuma za rushwa dhidi ya Katibu wa Itikadi na Uenezi (NEC-CCM), Nape Nnauye jana. (Na Mpigapicha Wetu).

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Lindi, imekanusha tuhuma za rushwa zilizoelezwa na baadhi ya vyombo vya habari dhidi ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Halmashauri

Mnyika aibukia Kamati Kuu



Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Bara, John Mnyika (wa kwanza kushoto) akiwa na viongozi wenzake katika kikao cha Kamati Kuu ya Chadema kilichofanyika leo jijini Dar es Salaam


MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika, ameibuka jijini Dar es Salaam na kuhudhuria kikao
cha Kamati Kuu (CC) ya chama chake. Taarifa kutoka ndani ya kikao cha CC kinachofanyika

Mkuu wa Usalama wa zamani wa Burundi Jenerali Nshimirimana auwawa

Watu waliokuwa na bunduki wamemuuwa mkuu wa usalama wa zamani wa Burundi na