Saturday, July 11, 2015

.DODOMA BADO HALI NI TETE: Wapambe wa Lowassa Bado Wamekinukisha, Dr. Shein Kapitishwa Kugombea Urais Zanzibar na Mkutano mkuu ni saa 3 Usiku

Kazi ya upigaji kura inaendelea hivi sasa katika mkutano wa Halmashauri Kuu (NEC), ambapo majina matatu yatapatikana na kupelekwa katika mkutano mkuu utakaoanza majira ya saa 3:00 usiku.

Aidha, mkutano  huo  umempitisha  mh. Ali Mohamed Shein  kuwa  Mgombea  wa  Urais  kwa  upande  wa  Zanzibari.


Maandamano  nje  ya  ukumbi yanaendelea  kushinikiza  jina  la  Lowassa  Lirudishwe. Angalia  Video

No comments :

Post a Comment