
Mhe. Freeman Mbowe (katikati) kulia kwake ni Regina Lowassa (mke wa Lowassa) kushoto
kwake nina Edward Lowassa baada ya kukabidhiwa kadi cha Chadema.
![]() |
Mwenyekiti wa CUF, Prof Ibrahim Lipumba akimpongeza Mhe. Edward Lowassa baada ya kujiunga na CHADEMA chama kimojawapo kinachounda umoja wa UKAWA. |
![]() |
Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, James Mbatia akimpongeza Edward Lowassa punde baada ya kujiunga na CHADEMA chama kimojawapo kinachounda umoja wa UKAWA |
No comments :
Post a Comment