Sunday, July 12, 2015

Mkutano mkuu wa CCM Waahirishwa Usiku .Mgombea Kujulikana kesho Saa Nne

Wagombea watatu waliopitishwa na NEC, Kutoka kushoto ni Dk. John Magufuli , Amina Salum Ali na Dk. Asha-Rose MigiroMwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mh. Jakaya Mrisho Kikwete ametangaza kuahirishwa kwa mkutano  mkuu  wa  CCM  hadi  kesho  saa  nne  asubuhi  ambapo  mgombea  rasmi  wa  chama  cha  mapinduzi  atatangazwa  baada  ya  kura  za  wajumbe 
kuhesabiwa. Zoezi  la  upigaji  kura  limemalizika  muda  mfupi  uliopita.

Waliopigiwa  kura  na  mkutano  mkuu  usiku  huu ni  wale  waliofanikiwa  kuingia  3  bora  ambao  ni  Magufuli, Amina  Salum  na  Asharose  Migiro.

No comments :

Post a Comment