Tuesday, July 21, 2015

TURKEY: WANANCHI WAFANYA MAANDAMANO KUPINGA UWEPO WA WACHINA

Anti-China sentiment is suddenly sweeping over Turkey
Waandamai wakichoma moto bendera ya China
Maandamano yanaendelea nchini Turkey. Maandamano hayo yaliyoanza wiki iliyopita yanatokea wakati ambapo raisi wa Nchi hiyo anajiandaa na ziara ya kuzuru nchi ya China hivi karibuni.

Maandamano hayo yalianza rasmi mwanzoni kabisa mwa mwezi wa 7, ambapo mgahawa wa Kichina katika mji wa Instanbul ulipovamiwa na watu watano wenye fimbo na mawe
" Hatutaki migahawa ya Wachina hapa, tokeni mjini kwetu" mwanaume mmoja allisikika akisema.
Anti-China sentiment is suddenly sweeping over Turkey
waandamanaji
                           

No comments :

Post a Comment