Monday, July 13, 2015

UJAMBAZI: KITUO CHA POLISI SITAKI SHARI UKONGA CHAVAMIWA NA MAJAMBAZI

Kuna habari zmetufikia zinazosema kwamba kituo cha polisi cha Sitaki-Shari kikichopo Ukonga kimevamiwa na majambazi ambapo takribani watu sita wanakadiriwa kuuwawa.
Bado tunafuatilia kwa undani habari hii

No comments :

Post a Comment